Wednesday, December 14, 2011

ok

WEMA: SIKUTEGEMEA NINGEMFUMA JOKATE NA MCHUMBA WANGU



Kwa story za juu juu nilizozipata ni kuwa wakati Diamond akishoot video ya mawazo na mwanadafada Jokate, walifanya ile kitu ya amri ya sita tulionyimwa mpaka tuoe na kuolewa, na wema sepetu aliwafuma wakilana denda live katika eneo hilo...sina uhakika zaidi lakini haya ni maneno na sauti ya wema akiongelea swala hilo

Monday, December 12, 2011

NIMEKUMBUKA HII....UNAIKUMBUKA?

NIGGA TOKA JAMBO SQUAD AWAPA NAFASI VATOLOCO THE RED KU-NGASTUKA

Mtoto wa bibi a.k.a. chalii chaplin a.k.a. mong'oo inchaji vema zaidi kama niggaC toka Jambo squadere sedere bidengere biae full papi haina manjota kwa fas mpaka mbulu kwa mama lulu tam kk mtori sio chungu ka ngorotii anakam tena round ii kwa kishindo na machiz wa vatoloco the red a.k.a ka kang kang!..ndani ya remix version ya track ya "ngastuka" ambayo imerekodiwa chini ya producer dx a.k.a defxtro pande za noizmekah.com arusha,'Humu ndani kama kawaida 2mewachana maraia viongozi wa nchi wanaofisidi na kutuuza asee,ni full machungu na hatuachi kuwalalamikia mpaka mabadiliko ya ukweli yaje!ooooooooooooooiiii

BABRON AZUNGUMZIA "YA MOYO"



Msanii toka pande za Namanga Border anayejulikana kama babron anaefanya muziki wa RNB na crunk,anazungumzia mapenz na machungu yake katika track hii mpya alorekodi pande za noizmekah.com chini ya defxtro,Project zingine zitafata baadae kidogo,shukrani nyingi ziende kwa mashabiki zangu kote nchini na media zinazosapoti mziki wangu...

PINI JIPYA: SAMBOIRA / BEN PO



UZINDUZI WA AIRTEL MONEY NDANI YA JAMHURI DODOMA

msanii jembe long time kitambo, Juma Nature (kati) akishiriki katika uzinduzi wa Airtel Money mjini Dodoma katika viwanja vya jamhuri

Mwana fa

Q chilla

nyomii

mzee wa tila lila Mr Blue on the stage

Sunday, December 11, 2011

PINI JIPYA: NG'OMBE / BOB JR FEAT LADY JAY DEE

PINI JIPYA: NGWEA NA DARK MASTER


Ikiwa ni muendelezo wa Nipeni deal, Ngwea na Dark master wameachia pini linaloitwa WASHAMBA, kutoka Mor reacords, Mwanza chini ya producer Q

PINI JIPYA: BARUA YA IZZO B

PINI JIPYA: CHAPIA / TASH KUTOKA A TOWN

Baada ya kupitia platform ya bongo fleva freestyle 2011 na kuwa mshindi alieiwakilisha Arusha, ameachia ngoma yake inayoitwa CHAPIA aliyoifanya de fetality studio chini ya mkono wa Messen selector 

Saturday, December 10, 2011

TRAILER YA MOVIE YA MACHWEO YA SNARE

Friday, December 9, 2011

SHEREHE ZA KUUKARISHA MWAKA WA HAMSINI WA UHURU WA TANZANIA NDANI YA MJENGONI

watoto wa marehemu Remy Ongala kutoka kulia ni Aziza Ongala, Jesca Ongala na Thomas Ongala nikifanya mahojiano nao. 

kutoka kushoto ni Dina Marios, Shadee na Asma Makau


Ray na Loveness

Mkuu wa vipindi, CloudsFM , Sebastian Maganga na mtayarishaji wa kipindi cha Power breakfast Jimmy Jams

Kwenye mashine ni Dj Zero



Sharon kulia na rafiki 

mimi na Sheba Kusaga



Barbara Hassan na rafiki

ilipotia saa sita ya usiku 

kitu cha hakunaga kiliwakilisha

Msanii Ben Paul akiwa na kaka yake

Clouds tean kutoka kushoto ni Clara, Sophia Kessy, Jackline Kombe na Dataz 


Stoppa nae alitia tim

Weusiiiii

msosi time ulipofika

Bob jr

Timu nyingine ya Clouds wakifatilia matangazo live kupitia kwenye luninga

thats ma friend Muna

B 12 na Maulanga


Mama Johny kulia, Dataz na Shadee 

Thursday, December 8, 2011

THE MAKING YA TUSHUKURU KWA YOTE / DITTO


KASHESHE VYUONI

VIBAKA WAMFANYIA KITU MBAYA DIAMOND

Jana usiku mkali akitoka katika mishe mishe zake, Diamond alipaki gari nje ya nyumba yake, asubuhi kuamka akakuta wenye mali zao washaondoka na power windo zote, radio, system ya AC, pamoja na begi lililokuwa na nguo kibao, cheni za gold pamoja na saa kibao kibao tu ambazo alikua akizitumia katika shooting ya video ya mawazo.

Wednesday, December 7, 2011

TIPTOP CONNECTION KUSHOOT VIDEO YA KIBOKO YAO KESHO


Kesho kundi zima la Tiptop connection litakua maeneo ya ubungo plaza kuanzia saanne za asubuhi  kushoot video ya wimbo wao mpya unaoitwa Kiboko yao...kama ungependa kushiriki ngana nao, hakikisha umetupia kiaina kuenda sawa na watakao kuwepo

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home