Sunday, December 18, 2011

NIHAYO TU KUTOKA PANDE HIZI ZA TZ.

WAZIRI SITA ASEMA ATAENDELEA NA MAPAMBANO DHIDI YA VIONGOZI MAFISADI

WAZIRI SITA ASEMA ATAENDELEA NA MAPAMBANO DHIDI YA VIONGOZI MAFISADI
Spika wa Bunge Mstaafu na Waziri wa Afrika Mashariki SAMUEL SITTA amesema ataendelea na mapambano dhidi ya Mafisadi na viongozi wenye tamaa ya fedha ambao wamekuwa wakitafuta madaraka kwa manufaa

Waziri mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda ameshauri kuwepo na siku ya maonyesho ya bidhaa za ndani

Waziri mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda ameshauri kuwepo na siku ya maonyesho ya bidhaa za ndani
Waziri mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda ameshauri kuwepo na siku ya maonyesho ya bidhaa za ndani, ili kutoa fursa kwa wakulima na wajasiriamali kuonysha bidhaa zao na hivyo kuongeza wigo wa

TANZANIA KUKAGUA BIDHAA KATIKA NCHI ZITOKAZO KABLA YA KUINGIA NCHINI

TANZANIA KUKAGUA BIDHAA KATIKA NCHI ZITOKAZO KABLA YA KUINGIA NCHINI
    Serikali kwa kushirikiana na shirika la viwango nchini imeanzisha mpango wakukagua bidhaa katika nchi zinazotengenezwa kabla hazijaingia nchini kitendo ambacho kitasaidia kupunguza uinguizaji wa bidhaa za bandia nchini na kupunguza

MIAKA 50 YA UHURU WETU CLOUDS YA JUMUIKA NA WANA FAMILIA KUSHEREHEKEA

MIAKA 50 YA UHURU WETU CLOUDS YA JUMUIKA NA WANA FAMILIA KUSHEREHEKEA
  VIJANA WAKIJIACHIA DJ 0 AKIKAMUA JOE MAKINI AKITOA SHOW NA KUMUACHA MZEE MROPE HOI KW ABURUDANI MJENGONI BABRA PICHANI CHINI AKIWA KATIKA MKAKATI WAKUHAKIKISHA WAGENI WANAKULA HAPO VIJANA WAKIBURUDIKA VIJANA WAKIJADILI MAMBO MBALI MBALI NA



WATU tisa wamekufa katika ajali mbili tofauti zilizohusisha mabasi ya abiria katika mikoa ya Shinyanga na Mbeya huku wengine 44 wakijeruhiwa. Ajali ya kwanza ilitokea jana saa 12 asubuhi katika

HAPPY BIRTHDAY CLOUDS FM ALWAYS NAMBA ONE

HAPPY BIRTHDAY CLOUDS FM ALWAYS NAMBA ONE
    mapokezi mjengoni mwanamuziki  Shem karenga akionge ana sakina lioka live katika leo tena ya miaka 12 ya clouds fm   piter msechu live ndani ya mjengo hawa ni viongozi wakikundi cha washereheshaji nao waliungana

SHAMRA SHAMRA ZA BIRTHDAY YA CLOUDS FM LIVE ON CLOUDS TV

SHAMRA SHAMRA ZA BIRTHDAY YA CLOUDS FM LIVE ON CLOUDS TV
  DOGO DITO AKIOMBA DUA YA KUMUOMBEA MWENZENTU NA MWANAMUZIKI MR EBBO ALIEFARIKI DUNIA ALFAJIRI LEO NA KUTOA DAKIKA MOJA YA HESHIMA KWA UKIMYA KABISA YOTE HAYO YAMEFANYIKA LIVE  ON TV  DOGO

CLOUDS FM RADIO YA WATU YATIMIZA MIAKA 12 TOKA KUANZISHWA KWAKE.

CLOUDS FM RADIO YA WATU YATIMIZA MIAKA 12 TOKA KUANZISHWA KWAKE.
  NI MIAKA 12 YA BURUDANI TUNAWASHUKURU WADAU WOTE NA WANAFAMILIA WA CLOUDS MEDA GROUP KWA SUPORT ZENU DAIMA TUTAENDELEA KUWA NANYI PAMOJA CLOUDS FM RADIO YA WATU. BURUDANI JADI YETU

Shamra shamra za miaka 50 ya Uhuru hapa clouds FM Radio ya watu zinaendelea hadi kufikia tarehe 9 Decemba, na hii ni wiki ya waburudishaji na matukio 50 ya kiburudani…

Shamra shamra za miaka 50 ya Uhuru hapa clouds FM Radio ya watu zinaendelea hadi kufikia tarehe 9 Decemba, na hii ni wiki ya waburudishaji na matukio 50 ya kiburudani…
Shamra shamra za miaka 50 ya Uhuru hapa clouds FM Radio ya watu zinaendelea hadi kufikia tarehe 9 Decemba, na hii ni wiki ya waburudishaji na matukio 50 ya kiburudani... Katika

TAMASHA LA STR8T INTER-COLLAGE FESTIVAL 2011 ILIKUWA NI MSHIKE MSHIKE

TAMASHA LA STR8T INTER-COLLAGE FESTIVAL 2011 ILIKUWA NI MSHIKE MSHIKE
MTUMZIMA AKIWAKILISHA TAMASHA LA STR8T INTER-COLLAGE FESTIVAL 2011 AFANDE SELE NDANI YA TAMASHA LA STR8T INTER-COLLAGE FESTIVAL 2011   WAREMBO KIBAO WAKIBURUDIKA NDANI YA TAMASHA LA STR8T INTER-COLLAGE FESTIVAL 2011  

JUMAAMOSI HII PALE LEADERS CLUB.KILELE CHA WIKI YA WABURUDISHAJI USIKOSE

JUMAAMOSI HII PALE LEADERS CLUB.KILELE CHA WIKI YA WABURUDISHAJI USIKOSE
SHAMRA SHAMRA ZA MIAKA 50 YA UHURU ZINAENDELEA HAPA CLOUDS FM RADIO YA WATU ..... HADI KUFIKIA TAREHE 9 DISEMBA NA HII NI WIKI YA WABURUDISHAJI NA MATUKIO 50 YA

Wiki ya Waburudishaji na Matukio 50 ya Kiburudani.. Katika XXL tunapenda kutambua mchango wa Jembe.

Wiki ya Waburudishaji na Matukio 50 ya Kiburudani.. Katika XXL tunapenda kutambua mchango wa Jembe.
Shamra shamra za Miaka 50 ya Uhuru zinaendelea hapa Clouds Fm Radio ya watu na Hii ni Wiki ya Waburudishaji na Matukio 50 ya Kiburudani.. Katika XXL tunapenda kutambua mchango

Shamra shamra za Miaka 50 ya Uhuru zinaendelea hapa Clouds Fm Radio ya watu na Hii ni Wiki ya Waburudishaji, Wawezeshaji wa burudani na Matukio ya kiburudani inayoanza Rasmi leo.

Shamra shamra za Miaka 50 ya Uhuru zinaendelea hapa Clouds Fm Radio ya watu na Hii ni Wiki ya Waburudishaji, Wawezeshaji wa burudani na Matukio ya kiburudani  inayoanza Rasmi leo.
Shamra shamra za Miaka 50 ya Uhuru zinaendelea hapa Clouds Fm Radio ya watu na Hii ni Wiki ya Waburudishaji, Wawezeshaji wa burudani na Matukio ya kiburudani  inayoanza Rasmi leo.   Katika

Shamra shamra za Miaka 50 ya Uhuru zinaendelea hapa Clouds Fm Radio ya watu na Hii ni Wiki ya Waburudishaji

Shamra shamra za Miaka 50 ya Uhuru zinaendelea hapa Clouds Fm Radio ya watu na Hii ni Wiki ya Waburudishaji
Shamra shamra za Miaka 50 ya Uhuru zinaendelea hapa Clouds Fm Radio ya watu na Hii ni Wiki ya Waburudishaji,Wawezeshaji wa burudani na Matukio 50 ya burudani inayoanza Rasmi leo.

Sherehe za Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania, Ujerumani

WATANZANIA WANAOISHI UJERUMANI ! WAANZA KWA KASI! KUSHEREKEA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA Miaka ya 50 ya uhuru wa Tanzania bara,kusherekewa kwa Kishindo Ujerumani ! Sherehe ambazo zitaambatana na ufunguzi wa Umoja

PB LIVE KESHO KUTOKA DODOMA NA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI

PB LIVE KESHO KUTOKA DODOMA NA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
MWAKA 1961 Tanzania ilikuwa na chuo kikuu kimoja tu,, Chuo kikuu cha Dar es salaam tofauti na ilivyo hivi sasa ambapo idadi imeongezeka zaidi. Kwenye Mwendelezo wa matukio 50 ya

FAMILIA YA CLOUDS FM WALIPOUNGANA KUCHANGIA DAMU KATIKA MATUKIO 50 YA KITABIBU YALIOFANYIKA.

FAMILIA YA CLOUDS FM WALIPOUNGANA KUCHANGIA DAMU  KATIKA MATUKIO 50 YA KITABIBU YALIOFANYIKA.
     CLOUDSFM WIKI ILIOPITA  MATUKIO YA KITABIBU.LEO JUMA TANO BAADHI ya makundi katika jamii yetu ambayo yanahitaji kuongezewa damu mara kwa mara ni pamoja na Watoto chini ya miaka mitano, majeruhi

0 Comments:

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home